Kisirusiru, mjinga
Kulikuwa na mvulana mdogo asiyeweza kutenda jambo lolote vyema. Mamake alimvumilia, lakini babake hakuweza kumstahimili. Siku moja babake aliamua kumfukuza kutoka nyumbani kwake. Mama alienda na mtoto wake. Nini kilitokea kwa Kisirusiru na mamake?